<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>
<?xml-stylesheet href="https://rss.buzzsprout.com/styles.xsl" type="text/xsl"?>
<rss version="2.0" xmlns:itunes="http://www.itunes.com/dtds/podcast-1.0.dtd" xmlns:podcast="https://podcastindex.org/namespace/1.0" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:psc="http://podlove.org/simple-chapters" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom">
<channel>
  <atom:link href="https://rss.buzzsprout.com/988291.rss" rel="self" type="application/rss+xml" />
  <atom:link href="https://pubsubhubbub.appspot.com/" rel="hub" xmlns="http://www.w3.org/2005/Atom" />
  <title>MAELEZO PODCASTS</title>

  <lastBuildDate>Thu, 19 Mar 2026 15:31:04 -0400</lastBuildDate>
  <link>http://www.maelezo.go.tz</link>
  <language>sw</language>
  <copyright>© 2026 MAELEZO PODCASTS</copyright>
  <podcast:locked>no</podcast:locked>
  <podcast:location geo="geo:-6.369028,34.888822">Tanzania</podcast:location>
    <podcast:guid>e8fb49fe-5e0d-538b-a97b-edaa2e2dbf53</podcast:guid>
  <itunes:author>Tanzania Information Services Department, Habari-MAELEZO</itunes:author>
  <itunes:type>episodic</itunes:type>
  <itunes:explicit>true</itunes:explicit>
  <description><![CDATA[<p>Sikiliza MAELEZO PODCASTS (Podcasts za Kiswahili kutoka Idara ya Habari MAELEZO, Tanzania) kupata taarifa na matukio mbalimbali nchini Tanzania. Idara ya Habari (MAELEZO) ipo chini ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ikiwa na jukumu la kutoa taarifa kuhusu utekelezaji wa Sera, mipango na miradi ya maendeleo vinavyotekelezwa na Serikali kwa wananchi, kusimamia vyombo vya habari hasa magazeti na machapisho na kuishauri Serikali juu ya Sera na Sheria za habari.</p>]]></description>
  <generator>Buzzsprout (https://www.buzzsprout.com)</generator>
  <itunes:keywords>TANZANIA, MAELEZO, HABARIMAELEZO, IDARAYAHABARIMAELEZO, SWAHILIPODCASTS, DARESSALAAM, HABARITANZANIA, </itunes:keywords>
  <itunes:owner>
    <itunes:name>Tanzania Information Services Department, Habari-MAELEZO</itunes:name>
  </itunes:owner>
  <image>
     <url>https://storage.buzzsprout.com/cq5zs8zcm6ax77z0mlk1eibkc40r?.jpg</url>
     <title>MAELEZO PODCASTS</title>
     <link>http://www.maelezo.go.tz</link>
  </image>
  <itunes:image href="https://storage.buzzsprout.com/cq5zs8zcm6ax77z0mlk1eibkc40r?.jpg" />
  <itunes:category text="Government" />
  <item>
    <itunes:title>Buriani Benjamin mkapa (Julai 25, 2020)</itunes:title>
    <title>Buriani Benjamin mkapa (Julai 25, 2020)</title>
    <itunes:summary><![CDATA[Idara ya Habari MAELEZO  ]]></itunes:summary>
    <description><![CDATA[<p>Idara ya Habari MAELEZO </p>]]></description>
    <content:encoded><![CDATA[<p>Idara ya Habari MAELEZO </p>]]></content:encoded>
    <enclosure url="https://www.buzzsprout.com/988291/episodes/18511872-buriani-benjamin-mkapa-julai-25-2020.mp3" length="18164142" type="audio/mpeg" />
    <itunes:author>Tanzania Information Services Department, Habari-MAELEZO</itunes:author>
    <guid isPermaLink="false">Buzzsprout-18511872</guid>
    <pubDate>Thu, 15 Jan 2026 12:00:00 +0300</pubDate>
    <itunes:duration>1511</itunes:duration>
    <itunes:keywords></itunes:keywords>
    <itunes:season>1</itunes:season>
    <itunes:episode>15</itunes:episode>
    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
    <itunes:explicit>true</itunes:explicit>
  </item>
  <item>
    <itunes:title>Elimu kwa umma kuhusu zoezi la SENSA YA WATU NA MAKAZI (2022)</itunes:title>
    <title>Elimu kwa umma kuhusu zoezi la SENSA YA WATU NA MAKAZI (2022)</title>
    <itunes:summary><![CDATA[Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 ni kwa ajili ya mipango jumuishi na maendeleo endelevu ya nchi na yataongeza uwazi katika kugawa rasilimali zilizopo kuendana na uwiano wa idadi ya watu katika ngazi zote za utawala. Halikadhalika matokeo yatatumika na Serikali na wadau wengine katika kufuatilia na kutathmini mipango mbalimbali ya kitaifa na kimataifa ikijumuisha Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 na Dira ya Zanzibar 2050, Mpango wa Tatu wa Taifa wa Maendeleo wa Mwaka 2021/22 - 20...]]></itunes:summary>
    <description><![CDATA[<p>Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 ni kwa ajili ya mipango jumuishi na maendeleo endelevu ya nchi na yataongeza uwazi katika kugawa rasilimali zilizopo kuendana na uwiano wa idadi ya watu katika ngazi zote za utawala. Halikadhalika matokeo yatatumika na Serikali na wadau wengine katika kufuatilia na kutathmini mipango mbalimbali ya kitaifa na kimataifa ikijumuisha Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 na Dira ya Zanzibar 2050, Mpango wa Tatu wa Taifa wa Maendeleo wa Mwaka 2021/22 - 2025/26 na Mpango wa Maendeleo wa Zanzibar (2021/22 - 2025/26), Dira ya Maendeleo ya Jumuiya ya Afrika Mashariki 2050 na Ajenda ya Maendeleo ya Afrika 2063. Taarifa hizi zitaipima Tanzania katika hatua iliyofikia kwenye utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu; Mpango ambao unalenga kuleta usawa na kutokomeza umaskini wa aina zote ukiwemo umaskini uliokithiri ifikapo mwaka 2030 kwa kuhakikisha kuwa hakuna mtu anayeachwa nyuma.</p><p>Idara ya Habari MAELEZO </p>]]></description>
    <content:encoded><![CDATA[<p>Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 ni kwa ajili ya mipango jumuishi na maendeleo endelevu ya nchi na yataongeza uwazi katika kugawa rasilimali zilizopo kuendana na uwiano wa idadi ya watu katika ngazi zote za utawala. Halikadhalika matokeo yatatumika na Serikali na wadau wengine katika kufuatilia na kutathmini mipango mbalimbali ya kitaifa na kimataifa ikijumuisha Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 na Dira ya Zanzibar 2050, Mpango wa Tatu wa Taifa wa Maendeleo wa Mwaka 2021/22 - 2025/26 na Mpango wa Maendeleo wa Zanzibar (2021/22 - 2025/26), Dira ya Maendeleo ya Jumuiya ya Afrika Mashariki 2050 na Ajenda ya Maendeleo ya Afrika 2063. Taarifa hizi zitaipima Tanzania katika hatua iliyofikia kwenye utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu; Mpango ambao unalenga kuleta usawa na kutokomeza umaskini wa aina zote ukiwemo umaskini uliokithiri ifikapo mwaka 2030 kwa kuhakikisha kuwa hakuna mtu anayeachwa nyuma.</p><p>Idara ya Habari MAELEZO </p>]]></content:encoded>
    <enclosure url="https://www.buzzsprout.com/988291/episodes/18511830-elimu-kwa-umma-kuhusu-zoezi-la-sensa-ya-watu-na-makazi-2022.mp3" length="1514102" type="audio/mpeg" />
    <itunes:author>Tanzania Information Services Department, Habari-MAELEZO</itunes:author>
    <guid isPermaLink="false">Buzzsprout-18511830</guid>
    <pubDate>Thu, 15 Jan 2026 12:00:00 +0300</pubDate>
    <itunes:duration>122</itunes:duration>
    <itunes:keywords></itunes:keywords>
    <itunes:season>2</itunes:season>
    <itunes:episode>10</itunes:episode>
    <itunes:episodeType>bonus</itunes:episodeType>
    <itunes:explicit>true</itunes:explicit>
  </item>
</channel>
</rss>
